TAREHE
|
N0.
|
|
TIMU ZINAZO CHEZA
|
UWANJA
|
MUDA
|
|
|
|
MZUNGUKO WA KWANZA
|
|
|
18.10.13
“
“
|
01.
02
03
|
TM
BM
AM
|
Tukuyu stars vs
Masukulu
Boma vs Mazombi
Airport
rangers vs Muungano
|
TUKUYU
KYELA
MAGEREZA
|
10:OO
“
“
|
|
|
|
MZUNGUKO WA PILI
|
|
|
22.10.13
“
23.10.13
|
04
05
06
|
TM
SA
MB
|
Tukuyu Stars vs
Mazombi
Super
Marine vs Airport ran.
Masukulu vs Boma
|
TUKUYU
KYELA
TUKUYU
|
10:00
“
“
|
|
|
|
MZUNGUKO WA TATU
|
|
|
27.10.13
28.10.13
29.10.13
|
07
08
09
|
AM
MB
MS
|
Airport
vs Mazombi
Muungano vs Boma
Masukulu vs Super
Marine
|
MAGEREZA
TUKUYU
TUKUYU
|
10:00
“
“
|
|
|
|
MZUNGUKO WA NNE
|
|
|
02.11.13
“
“
|
10
11
12
|
TM
SB
AM
|
Tukuyu stars vs Muungano
Super Marine VS Boma
Airport
rangers VS Masukulu
|
TUKUYU
KYELA
MAGEREZA
|
10:00
“
“
|
|
|
|
MZUNGUKO WA TANO
|
|
|
07.11.13
O8.11.13
07.11.13
|
13
14
15
|
MS
BT
MM
|
Mazombi vs Super Marine
Boma VS Tukuyu stars
Muungano VS Masukulu
|
KYELA
KYELA
TYKUYU
|
10:00
“
“
|
|
|
|
MZUNGUKO WA SITA
|
|
|
13.11.13
“
“
|
16
17
18
|
AB
ST
MM
|
Airport
rangers vs Boma
Super Marine VS
Tukuyu stars
Muungano vs Mazombi
|
MAGEREZA
KYELA
TUKUYU
|
10:00
“
“
|
|
|
|
MZUNGUKO WA SABA
|
|
|
18.11.13
18.11.13
19.11.13
|
19
20
21
|
TA
SM
MM
|
Tukuyu
stars vs Aiport ragers
Super Marine vs
Muungano fc
Masukulu vs mazombi
|
TUKUYU
KYELA
TUKUYU
|
10:00
“
“
|
Jumatano, 23 Oktoba 2013
RATIBA YA LIGI DARAJA LA TATU MKOA (MBEYA) 2013/14 HATUA YA AWALI KATIKA MAKUNDI KUNDI (A)
Posted on 10:54 by Unknown
Jumapili, 20 Oktoba 2013
MAAANDALIZI YA KOMBE LA DUNIA 2014. RONALDO DELIMA ANENAAA, TIZAMA VIDEO HAPA.
Posted on 01:50 by Unknown
Ronaldo Delima asema Brazil ni nchi ya mpira na kombe la dunia lina taswira ya Brazil
Joseph S. Bratter anena kua FIFA ipo nyuma ya brazili kuhakikisha michezo na brazili katika michezo yasonga mbele
Tizama namna wana brazil walivyo jiandaa katika ujenzi wa viwanaja kwaajili ya michezo ya kombe la dunia 2014 na matangazo mbali mbali
Walio na mzuka wasema dunia isubiri ione viwanja bora, wengine waona kombe la dunia ni kwaajili ya ulimwengu mzima kutizama
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! KOMBE LA DUNIA 2014 KABUMBU SAFI MWNZO MWISHO!!!!!!!!!!!!!!!!
Tizama namna wana brazil walivyo jiandaa katika ujenzi wa viwanaja kwaajili ya michezo ya kombe la dunia 2014 na matangazo mbali mbali
Walio na mzuka wasema dunia isubiri ione viwanja bora, wengine waona kombe la dunia ni kwaajili ya ulimwengu mzima kutizama
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! KOMBE LA DUNIA 2014 KABUMBU SAFI MWNZO MWISHO!!!!!!!!!!!!!!!!
Jumamosi, 19 Oktoba 2013
HABARI KATIKA PICHA: AIRPORT RANGERS FC 0-0 MUUNGANO FC. LIGI DARAJA LA TATU
Posted on 11:57 by Unknown
Mchezo wa mpira wa miguu katika ligi daraja la tatu ngazi ya mkoa uliendelea kulindima katika viwanja mbali mbali hapa mkoani mbeya siku ya jana tarehe 18.10.2013 , timu ya airport rangers imejikuta ikilazimisha sale ya bila kufungana na timu ya Muungano f.c kutoka Tukuyu mbeya.
Mchezo huu ulijaa lawama nyingi kwa muamuzi wa mchezo kwani alionekana wazi hakua na vigezo vya kuchezesha mpira pale alipo onekana aki fanya maamuzi yasiyo ya kimchezo, mfano vijana wa Muungano kipindi cha pili walipiga shuti kali kuelekea goli la airport rangers mpira huo ukaelekea nje ya uwanja sentimita chache na mwamba wa juu lakini cha kushangaza muamuzi aka puliza kipyenga kwamba ni goli na wakati kulikua na nyavu golini na kama linge kua gori basi m,pira ungebaki ndani ya nyavu...
pili kupulza firimbi ya kutoa adhabu pale ambapo hakuna kosa lilio tendeka
vijana wa airport rangers wakiweka mwili safi dakika chache kabla mchezo kuanza katika uwanja wa magereza siku ya jana mnamo majira ya jioni
waamuzi wakitoa msisitizo juu ya nidham kwa manahodha wa timu zote mbili dk chache kabla ya mchezo kuanza
kikosi cha timu ya Airport rangers kilicho lazimishwa sale ya kuto fungana na timu ya Muungano toka tukuyu hapa mkoani mbeya katika uwanja wa magereza , Kwa majina tukianza na walio simama kutoka kushoto ni Lukelo, kilongo, Aswile, Edward, Sabebe,Mwalugala na tukianza na walio weka mikono kwenye magoti kutoka kulia , Robert, Jimmy, Alex, Amri na Thomas
kikosi cha timu ya muungano kutoka busokelo tukuyu kilicho jawa na wachezaji walio kua sumu ya vijana wa airport kupata ushindi
waamuzi walio pewa dhamana na M.R.E.F.A kuchezesha mchezo wa ligi daraja la tatu baina ya Airport rangers fc na Muungano fc ktk uwanja wa magereza wakiongozwa na muamuzi wa kati MR. japhet
uongozi wa timu ya Air poart rangers fc ukitafakari mchezo ulio kua mbele yao dk chache kabla ya mchezo
wazee wanamichezo wakiongozwa na diwani wa kata ya iyela Charles Nkela (katikati ) walipo fika uwanjani kutizama namna vijana wao wa kata ya iyela wakicheza mpira ( sera mpira ni furaha na mpira ni ajira). mwisho wa mchezo wote vichwa chini kisa vijana hawakufanikiwa kuondoka na ushindi..... Air port rangers msiangushe wadauuuuuuuuu!!!!!!.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)