Hakuna raha kama kua na kioo
sababu, kina raha yake maana hauwezi kutembea na uchafu ukijitizama
lazima ujisafishe ,,, hapa namuona kijana wetu ambae ni kijana wetu
katika soka (Jimmy Shoji) akiwania mpira na mchezaji maarufu sana tanzania
( Mrisho Ngasa)... hapa ilikua ni mechi kati ya jkt luvu na simba ambapo kaka
huyu ambae wengi tumekua tukimfaham kwa jina la Gema aliongozana na
wachezaji wenzake wa jkt ruvu stars kulazimisha suruhu ya 1-1 ,, ndugu
zangu kwangu hiki ni kiioo kwetu haswa Sie wapenda soka la maendeleo
Nafasi yake uwanjani
|
Bwana shoji anapendelea sana kucheza kama kiungo mkabaji
,namba sita (6) namba hii kwake ni kama nyumbani maana hujisikia
faraja na ni namba ambayo akicheza ni nafasi kubwa kwake kuonyesha mafanikio
katika timu husika ..
Historia yake mpira
|
Bwana Shoji hakuanza mpira hewani na hii ni safari yake ya
mpira kwa mda wa miaka kadhaa iliyo pita na timu alizopitia
1. Alizaliwa
mwaka 1993,
2. Aliichezea
airport junior
3. Aliichezea
Forest
Youth Academy (foysa)
4. Aliichezea
Tanzania
Prison ( II)
5. Aliichezea
AFC Arusha tokea 2008 hadi 2010
6. Aliichezea
JKT RUVU stars tokea 2011 hadi may 2013
7. Anachezea
Tanzania
prisons kwa msimu wa 2013-2014 akiwa kama mchezaji mpya alie sajiliwa
june 2013
mashindano aliyo wahishiriki
|
1. Kombe
la muungano akiwa na forest youth academy (foysa)
2. Taifa
cup akiwa na AFC arusha
3. Rolling
stoney cup
4. Ligi
daraja la kwanza AFC arusha
5. Ligi
kuu vodacom (VPL) kwa misimu miwili akiwa AFC arusha na
baada ya hapo akahamia JKT ruvu stars, na sasa akiichezea Tanzania Prison SC
mataji na medali alizo
wahichukua
|
1. mchezaji
bora taifa cup , arusha na tanga
2. rolling
stone cup, medali moja akiwa na foysa kama
mshindi wa tatu
0 maoni:
Chapisha Maoni