MECHI YA KIRAFIKI KATI YA AIRPORT RANGERS
FC V/S MBEYA CITY COUNCIL KUCHEZWA TAREHE
07/09/2013
|
Baada ya V.P.L kusimama kwa mda mpaka hapo tarehe 14/09/2013 viongozi wa Airport Rangers F.C wameamua
kutumia nafasi hii kwa kuinoa timu yao kwa ajili ya mashindano yanayo tarajiwa
kuanza kurindima mnamo tarehe 04/10/2013.
Uongozi wa timu ya Airport Rangers wakishirikiana vyema na
uongozi wa Mbeya City Council F.c wanayo furaha kukujulisha yakua kutakua na
mchezo wa kirafiki kati ya Airport Rangers F.c dhidi ya Mbeya City Council F.c (vijana wa Mwambusi ) utakao chezwa mnamo
tarehe 07/09/2013 katika uwanja wa CCM
kumbukumbu ya Sokoine Mbeya kuanzia saa
10:00 jioni mpaka saa 12:30
Wadau wa mpira mnaombwa kufika kushuhudia mchezo huu kwani
kiingilio ni bure kabisaaaa
v (AIR PORT RANGERS FC, USHINDI JADI
YETU).
0 maoni:
Chapisha Maoni