B
|
aada ya
mchezo wa kirafiki kati ya mbeya city na airport rangers kusogezwa Mbele mpaka
hapo tarehe 10.09.2013 kwa sababu zilizo
nje ya uwezo wa waandaaji wa mchezo huo…
M
|
abingwa
katika kombe la muungano julai 2013 timu
ya Mbaspo kutoka Mbeya leo jumapili panapo majira ya saa 10 kamili Katika uwanja
wa Magereza wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Airport Rangers FC
H
|
ii ni
moja ya mbinu za uongozi wa airport rangers kuinoa timu yao kwa kucheza na timu
ambazo zinaushindani ili kuweza kupata picha timu hii ipo katika hali gani
kabla ya mashindano yanayo tarajia kuanza hapo tarehe 4.10.2013
K
|
wani baada ya kufanikiwa kushinda kwa mikwaju ya
penati 5-4 dhidi ya wahasimu wao Mbeya City vijana wa Mbaspo katika mashindano
hayo ya kombe la muungano walifanikiwa kunyakua kombe na pesa kiasi cha Tsh
milioni 3
AIRPORT RANGERS FC USHINDI
JADI YETU
|
Ngapi ngapi Mbaspo na Airport Rangers?
JibuFutahllowww,,, chriss,,mechi hii ya kirafiki iliishia kwa tim zote mbili kuchoshana nguvu pale ambapo mpaka refa wa mchezo anapuliza kipyenga hakuna tim ilofanikiwa kuliona rango la mwenziee,,, ingaw a mchezo ulikua wa kubamba ile mabaya
Futa