CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MKOA WA MBEYA
|
MSIMU WA LIGI 2013/2014 DARAJA LA
TATU MKOA NA DARAJA LA NNE WILAYA
Kwa mujibu wa barua KUMB.NAMBA.MREFA,MBY,05,LW,VOL.III,001 kutoka ofisi ya katibu mkuu M.R.E.F.A ndugu S.HAROUB.
Anapenda kuwafahamisha wana Mbeya yakua kwa mujibu wa kalenda ya matukio ya TFF, inayo elekeza kua
ligi zote za mikoa na wilaya zianze tarehe 21/09/2013 kwa msimu wa 2013/14.
Timu shiriki zinatakiwa kuanza maandalizi mapema iwezekanavyo kwa kuzingatia
mda ulio pangwa
Ratiba ya maandalizi ya ligi ya mkoa daraja la tatu na tarehe ya kuanza kwa
ligi ni kama ifuatavyo
TAREHE
|
TUKIO
|
30.08.2013
|
Fomu za usajili
kuanza kutolewa
|
15.09.2013
|
Mwisho wa kurudisha fomu za usajiri
|
20.09.2013
|
Uchambuzi wa fomu
(kamati ya mashindano na viongozi wa vilabu)
|
21.09.2013
|
Kupokea pingamizi za wachezaji
|
24.09.2013
|
Kupitia pingamizi
mbali mbali za wachezaji
|
25.09.2013
|
Taarifa ya wachezaji walio pitishwa katika
usajairi kutangazwa
|
26.09.2013
|
Mechi ya ngao ya
hisani
|
04.10.2013
|
Ligi kuanza
|
TIMU ZINAZO TARAJIWA
KUSHIRIKI
|
Ø Airport rangers fc (mbeya mjini)
Ø Tukuyu stars (
rungwe)
Ø Masukuru f.c (rungwe)
Ø Muungano F.c (busokelo)
Ø Ichenjezya F.c (vywawa mbozi)
Ø Biashara F.c (mkwajuni chunya)
Ø Chemchem F.c (chunya )
Ø Ibara F.c (rujewa)
Ø Boma F.c (kyela)
Ø Mazombi F.c
(kyela)
Ø Super marine F.c (kyela)
Ø Opec F.c (mbalizi)
Ø Wenda F.c (mbalizi)
Ø Sido F.c
(Mbeya mjini)
Ø Black scorpion F.c (Mbeya mjini)
Ø Magereza Ruanda F.c (Mbeya
mjini)


0 maoni:
Chapisha Maoni